Zanzibari Spice Songtext
von Turunesh
Zanzibari Spice Songtext
Mapenzi yaki Zanzibari
Baby we ni kitu kali
Katisha roho ukisitisha
Inatisha ukinani
Ukishika ni faya
Acha roho mbaya
Shtuka ushanifika chini
Tushawaka akili
Asali yako ni tamu
Nachovea pilipili
Nadhani ni hisiya
Bila sauti unasikia
Shtuka tuko kati ya shuka
Shika nayeyuka
Nashindwa kutammka
Kuamka sitaki
Only you can take it
Only you can take it
Maji yangu ni sacramental
Tumia ulimi
Dunia ni mimi
Asili ya mahaba
Usiliye baby
Peponi ni hapa
Nadhani ni hisiya
Bila sauti unasikia
Kati ya shuka
Shika nayeyuka
Baby we ni kitu kali
Katisha roho ukisitisha
Inatisha ukinani
Ukishika ni faya
Acha roho mbaya
Shtuka ushanifika chini
Tushawaka akili
Asali yako ni tamu
Nachovea pilipili
Nadhani ni hisiya
Bila sauti unasikia
Shtuka tuko kati ya shuka
Shika nayeyuka
Nashindwa kutammka
Kuamka sitaki
Only you can take it
Only you can take it
Maji yangu ni sacramental
Tumia ulimi
Dunia ni mimi
Asili ya mahaba
Usiliye baby
Peponi ni hapa
Nadhani ni hisiya
Bila sauti unasikia
Kati ya shuka
Shika nayeyuka
Writer(s): Sophia Mufuruki Lyrics powered by www.musixmatch.com