Haistahili Kamwe Songtext
von Jemmimah Thiong'o
Haistahili Kamwe Songtext
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Mama mbona unizushie maneno maneno mengi
Mbona wanitenda hivyo mimi binadamu mwenzio
Mbona hutaki mwenzio niendelee kabisa
Ukiona naendelea wee unaanza uzushi
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Mama mbona waudhika kipawa changu baraka
Omba nawe kwa imani chako nawe utapata
Waganga wadanganywa hata wao waliumbwa
Mungu ndiye mweza yote muombe Naye atakupa
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Sauti yangu na vyote nilivyo navyo mwenzangu
Mungu ndiye aliyenipa mbona wee wagadhabika
Usijiumize bure omba nawe utapata
Kisha utafunguliwa tafuta nawe utapata
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Mama mbona unizushie maneno maneno mengi
Mbona wanitenda hivyo mimi binadamu mwenzio
Mbona hutaki mwenzio niendelee kabisa
Ukiona naendelea wee unaanza uzushi
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Mama mbona waudhika kipawa changu baraka
Omba nawe kwa imani chako nawe utapata
Waganga wadanganywa hata wao waliumbwa
Mungu ndiye mweza yote muombe Naye atakupa
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Sauti yangu na vyote nilivyo navyo mwenzangu
Mungu ndiye aliyenipa mbona wee wagadhabika
Usijiumize bure omba nawe utapata
Kisha utafunguliwa tafuta nawe utapata
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Haistahili kamwe kunizushia maneno
Kunitilia fitina maana sote binadamu
Bwana Mungu katuumba tena akafurahia
Kapendezwa sana Mungu na kazi ya uumbaji
Writer(s): Jemmimah Thiong'o Lyrics powered by www.musixmatch.com