Songtexte.com Drucklogo

Kamata (Ft. Mr. Lenny) Songtext
von E-Sir

Kamata (Ft. Mr. Lenny) Songtext

Ogopa Police Station presents
Inspector E-Sir and Lenny
Uh, tumekuja kuwashika!
Tumekuja kuwashika!
Hallo, mko wapi wadada?

Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?

(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata


Tunaposhika mic twasema tena tuna flow
Pamoja basi sasa tunacheza hizo songs
Wajameni kujeni mskie hii flow

Basi weka mkono kwenye kiuno
Na usawanishe sawa na mdundo
Peleka nyuma, rudisha mbele
Sote tupige makelele

Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?


Tulienda mbali
Tukarudi tena
Na tuliporudi wanawika
(Hakuna show ka Ogopa show)
Tulienda mbali
Tukarudi tena
Na tuliporudi wanawika
(Hakuna show ka Ogopa show)

Huu mwaka
Ka moto, tutawaka
Na wote walioongea taka taka
Bila shaka, wata (Shh!)
Huu mwaka

Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?

(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)

Songtext kommentieren

Log dich ein um einen Eintrag zu schreiben.
Schreibe den ersten Kommentar!

Fans

»Kamata (Ft. Mr. Lenny)« gefällt bisher niemandem.